Na Aboud Mahmoud
“Sanaa si
uhuni sanaa ni kazi kama zilivyo kazi nyengine tena kwa nchi zilizoendelea kama
Marekani wasanii ni kama tunu ya taifa thamani wanayopewa utaona hata kama
wakija katika nchi zetu wana ushawishi mkubwa sana na watu,kwa hiyo heshima
huanzia nyumbani,”.

